Well ni Ijumaa nyingine tena ambapo huwa tuna waletea fashion za hijab,na fashionistas wanao vaa hijab stylish. Leo tunawaletea hijabista 4 wa kuwa follow instagram ambao ni wa Tanzania, kuna ambao tume penda style zao za mavazi, make up na hata wanavyo funga hijab zao, kama wewe unavaa hijab au unapenda kuvaa na hujui ujistyle vipi unaweza kuwa follow
- Faridah Belina Mgeni au @queenof_abayastyle
Kama ambavyo jina lake la Instagram linavyo jieleza, Faridah is a queen linapo kuja swala la kuvaa na ku style abaya zake, kuanzia casual, office hadi night events, tunapenda jinsi alivyo neat lakini pia anavyo pangilia rangi zake. kama wewe ni m’dada wa makamo fulani unae penda kuvaa abaya kidada & yet stylish basi Faridah ni jibu lako
- Aminah au @just_aminah2
Amina yeye style zake ni za kisichana, sio mara nyingi kumuona kavaa abaya mostly ni suruali, skirt na magauni & she is real good na kupangilia rangi, style zake ni modern kama kuvaa raba na skirt, vimono etc, kama wewe ni msichana ambae ungependa kuvaa suruali zako na hijab follow her.
Amina ni mama wa makamo ambae ana penda mitindo, her style ni za wamama but very clean and stylish, kama ni m’mama na ungependa kujua au kupata mtu ambae anaweza kukupa idea ya namna gani uvae abaya, gauni zako na hijab Amina ni jibu lako na pia anauza nguo ni rahisi kuzipata kama utapenda alizo vaa.
- beibhavy – havihijab-trends.co.tz
Ni fashion blogger ambae ana kuonyesha namna ambavyo una weza kujistiri na bado ukawa stylish ni mdada wa makamo ambae style zake ni rahisi ku copy, she is colorful & trendy
kusoma namna ya kustyle hijab na fany packs bonyeza hapa
Related posts
5 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Here you will find 22110 additional Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/4-tanzanian-stylish-hijabista-to-follow-on-istagram/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on to that Topic: afroswagga.com/mitindo/4-tanzanian-stylish-hijabista-to-follow-on-istagram/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/4-tanzanian-stylish-hijabista-to-follow-on-istagram/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on on that Topic: afroswagga.com/mitindo/4-tanzanian-stylish-hijabista-to-follow-on-istagram/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 12322 additional Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/4-tanzanian-stylish-hijabista-to-follow-on-istagram/ […]