Ni Ijumaa nyingine tena na tunakuletea segment ya Drip Vibe Check ambapo hapa tutakuwa tunaangalia outfit mbali mbali za wasanii na namna ambavyo wamezivaa. Since tumeanza segment mwisho wa week tumeona sio mbaya tukimleta mwanamitindo, video vixen, mwanamuziki lakini pia ni mjasiriamali Hamisa Mobetto.
Leo tunaangalia namna ambavyo amevaa denim zake, anaweza kuku-inspire na wewe weekend hii ukavae ya kwako kama ambavyo yeye amevaa.
Simple yet chic & Stylish sometimes all you need ni another extra accessory kufanya outfit yako i-stand out.

Wakati mwingine unahitaji jeans yenyewe ku-make a statement na kwenye outfit hii Hamisa ame-make statement na hii ripped jeans yake, tumependa namna ambavyo amevaa off shoulder top kuonyesha skin juu pia.

How about short denim pant? Unaweza kuvaa huu mtoko kama una mtoko wa usiku na marafiki n.k

Tukiongelea Denim On Denim. tungevaa hii outfit kwenye date

Well Afromates let us know wewe huwa unavaaje Denim zako?
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/4-times-hamisa-mobetto-showed-us-how-to-rock-denim/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/4-times-hamisa-mobetto-showed-us-how-to-rock-denim/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/4-times-hamisa-mobetto-showed-us-how-to-rock-denim/ […]