Katika vitu ambavyo ni wardrobe essentials basi skinny jeans nayo ipo, iwe nyeupe, nyeusi, grey au hata blue as long as iwepo. Ni rahisi ku style lakini pia unaweza kuingia nayo popote kama tu uta-istyle kutokana na tukio na eneo uendalo. Well mwanadada Jacqueline Mengi ni moja kati ya watu maarufu ambao wana slay kinoma noma na ni mpenzi wa mavazi meupe ikiwepo skinny jeans. Na hizi ni mara 4 ambazo Jacqueline ametuonyesha jinsi ya kustyle jeans hii.
Jacqueline alivaa hii plain white skinny jeans yake na vest nyeupe, huku akiwa ametupia na blue & pink floral kimono, ame accessorize na miwani akiwa amebeba mini bag ya pink huku akimalizia muonekano wake na white pumps, unaweza kuvaa hivi ukiwa una meet na marafiki zako au window shopping.
Tukamuona tena na suruali plain nyeupe ambayo aliistyle na white one shoulder ruffle top, akamalizia muonekano wake na miwani na chic white heels.
Tulimuona pia akiwa amevaa distressed white skinny jeans na vest ile ile nyeupe, akiwa ameongezea na blazer nyeupe, ame accessorize na bold pink lipstick, miwani na her favorite Panama hat, amemalizia muonekano wake na black pumps.
she again styled her distressed white skinny jeans na white vest hapa alivaa na turquoise & pink floral kimono, akamalizia muonekano wake na turquoise pumps na miwani.
Well mmeweza kuona jinsi Jacqueline anavyo re-rock jeans zake na hata nguo za juu kama vest bila kuwa boring na unaweza husi-notice, unaweza kuwa na nguo chache kabatini ila ukazivaa tofauti tofauti mara nyingi bila ku-bore.
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/4-times-jacqueline-mengi-showed-us-how-to-style-a-white-skinny-jeans/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/4-times-jacqueline-mengi-showed-us-how-to-style-a-white-skinny-jeans/ […]