Tunaelekea mwisho wa mwaka na kama ilivyo shule ukimaliza msimu mmoja lazima upate matokeo yako (report/results) kujua umefaulu au la na ndivyo ilivyo kwetu Afroswagga kila mwaka huwa tunatoa matokeo ya walio pendeza zaidi na walio haribu zaidi katika fashion industry kwa kuanza tunaanza na wanaume ambao wao wameonekana kutisha sana mwaka huu kimavazi,
Juma Jux – Kama ingekuwa sio uanamuziki tuna predict Juma angekua stylist au fashion blogger, sio rahisi kujua Juma atakuja na nini au atavaa nini kesho he is stylish, Si hivyo tu Juma keeps up with trends anajua whats in and whats out na always ana style his own ways, kubwa kabisa ni kwamba ni msanii ambae ana pendeza hata akiwa nyumbani si kama wengi ambao tuna wa judge na apperance zao za red carpet. Juma Jux he is our 2017 best dressed Tanzanian Man.
Rio Paul – what to expect from a stylist than style it self, Rio ame tu bless na red carpet appearance ambazo ni fashionable lakini pia he had business appearance na casual za hapa na pale, hata kama ana majukumu mengi upande mwingine bado style ipo kwenye damu yake. we bow down for you Rio
Idris Sultan – hi there Idris, Idris ame onekana kwenye event chache mwaka huu lakini pia amekuwa mgumu kupost outfits zake za kila siku mara kwa mara, katika event alizo onekana Idris ameonekana kupendeza lakini pia mwaka huu ameshinda tuzo mbili za Fashion ikiwepo style icon of the year 2017 katika Tuzo za Swahili Fashion Week na most sylish/dressed celebrity male Africa hizi zilifanyika Uganda.
Mtani Nyamakababi au Mtani_beskope – men wear designer Mtani Nyamakababi he did not just dress people this year bali pia amejivalisha mwenyewe, japo ana few appearance katika red carpets lakini zile chache tulizo ziona zimetufurahisha
Andru Julian Mahiga a.k.a drudysseus – ni moja kati ya wanaume wanaojua kuvaa Tanzania japo hajulikani sana lakini sisi tumepata kumjua kutokana na mitindo yake, style zake ni very simple & calm. kitu ambacho tunapenda zaidi kutoka kwake ni kwamba he is effortless slaying.
Unaweza kushikumbusha hapa na best dressed men wetu wa 2016
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…