Wanawake wenye matiti ama vifua vidogo wana advantage kubwa kuliko wenye maziwa makubwa ( we wonder why wanawake wanapenda maziwa makubwa) machaguo yao ya mavazi huwa rahisi kupata lakini pia they can go braless bila watu kushangaa. Well kama una kifua kidogo na una patwa na matatizo au hujui mavazi gani yana kufaa zaidi tupo hapa kwa ajili yako.
Show Some Skin ( Onyesha Ngozi)
Since una maziwa madogo huna wasiwasi wa kuvaa blazia kila mahala unaweza kuonyesha ngozi kwa kuvaa nguo za mgongo wazi, deep V,off shoulders au show some side boob.
Weka Attention katika Kiuno
Since una kifua kidogo ni vyema uka peleka attention kiunoni kwa kuvaa mavazi yanayo draw attention there, kama high waist trouser, skirts au hata kuvaa waist belts,unaweza kuongezea na statement necklace katika outfit yako kukupa polished look.
Vaa Flared Trouser,
make flared trouser your best friend, flared trouser ambazo zina small waist zinakufanya upate muonekano mzuri, unaweza kujifunza tip hii kutoka kwa mwanamuziki Ariana Grande, yeye anakifua kidogo na mara nyingi hupenda kuvaa flared trouser na crop top & she normal look amazing akivaa hivyo.
Accessorise
unaweza kuongezea illusion ya more size kwa kuongezea urembo katika kifua chako, unaweza kuvaa top zenye ruffle, au flills lakini pia unaweza kuongezea scarf katika mtoko wako au even better unaweza kuvaa statement au layering necklace
Vaa Colorful ClothÂ
kama unapenda kupata attentio kifuani basi jibu ni kuvaa nguo za rangi juu wakati chini ukivaa dark colors, hii inasaidia kupata attention juu zaidi kuliko chini na since kifua chako ni kidogo ukivaa dark color juu unakuwa unaondoa all the attention juu.
Related posts
1 Comment
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Here you will find 55373 additional Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/5-fashion-tips-kwa-wanawake-wenye-matiti-madogo/ […]