Well NSTAGRAM ina matumizi mbalimbali. Wengine huconnect na dunia kwam kushare picha na video, wengine hujipatia marafiki na hata wenza ila kwa wapenzi wa fashion ni uwanja wakujionea na wakujizolea style inspiration toka kwa watu mbalimabli wawe maarufu ama la.
So kwa wakaka tumewachagulia baadhi ya pages za watu maarufu ambazo kwa mpenda fashion ama kuvaa vizuri na kupendeza zitakuinspire kuboresha muonekano wako.
Twaanza na:
Anaitwa Andru Julian Mahigana he’s a slaying fashionista and and on instagram. Ukiipitia page yake waweza kuwa inspired na his casual looks, smart casual na hata formal looks akiwa all dapper in a suit katika matukiom mbalimbali. His instagram serves as apersomal blog na kwa hakika katika picha zake wawezajizolea tips mbalimbali za unadhifu kuwa gentleman.
G Nako ni msanii mwenye kipaji chake toka kundi la WEUSI. Pia ni fashionista wa aina yake as his sense of style huvutia either akiwa casual iakiwa amevalia shorts na sandals ama formal in his dapperkiller suits. Pia hutupilia rangi mbalimbali hivyo kwa wewe muoga wa kijaribu baadhi ya rangi ama mixed prints, G Nako anaweza kukuvutia kujaribu.
Denola ni media presenter, fashion blogger na style influencer toka Nigeria . Ni kijana ambayestyle yake na nguo avaazo huleta mvuto hivyo ukitembelea page yake waweza kujionea mionekano mablimbali, from casual wear to formal wear so pretty sure hutotoka kapa hapa bali utajifunza vitu kededede.
Richard Mofe Damijo ni muigizaji, mwanasheria na babu wa familia toka nchini Nigeria mwenye miaka 57 lakini umri haujawa chanzo cha kutokupendeza. Baba huyu huslay kila picha na hakikah utoacha kuscroll kujionea zaidi pindi uutakapo tembelea page yake. Baba nyumbani waweza badili ama kuupendezesha muonekano wako kwa kuwa inspired kupendeza kama Mofe. Hata kwako mama, Mofe anaweza saidia kukupa ideas za kubadilisha muonekano wa mwenzi wako kama hauridhishi.
Norris Danta Ford ni mbunifu, fashion blogger na fashion influencer toka California, Los Angeles, Marekani na hakika page yakeu ionapo utavutiwa kuubadilisha muonekano wako. Norris huweza kucheza na kustyle rangi na patterns mbalimbali katika mavazi yake yaani from hot pink to army prints hivyo utavutiwa na kujifunza jinsi waweza kujistyle hata wewe. Pia nguo nyingi avaazo huwa si za gharama hivyo kupendeza hakuitaji gharama sana bali ujanja wa kuapngilia muonekano wako
Imeandikwa na @willibard_jr
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Here you will find 46646 additional Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/5-stylish-men-to-follow-on-instagram/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 80065 additional Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/5-stylish-men-to-follow-on-instagram/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/5-stylish-men-to-follow-on-instagram/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on on that Topic: afroswagga.com/mitindo/5-stylish-men-to-follow-on-instagram/ […]