SUBSCRIBE NOW

* Afromate kuwa wakwanza kupata updates zetu za kila siku!

Trending News

Subscribe Now

* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!

Trending News

5 Tips On How To Be Classy And Stylish According To Lavidoz
Mitindo

5 Tips On How To Be Classy And Stylish According To Lavidoz 

Moja kati ya watu maarufu ambao wengi wanawapenda kutokana na mavazi yao basi ni mwanadada Lavidoz, Lavidoz ana mwili wa kawaida ( sio ile miili ya kutengeneza) na bado anavaa na kupendeza.

Ambacho wengi tunavutiwa nacho kutoka kwake ni kwamba japo havai mavazi ya ghali sana lakini mara zote anaonekana stylish & Classy hii ilivutia wengi na sisi tukiwepo tukaona tumuulize anawezaje kufanya hivyo na haya ndiyo majibu yake,

  1. Know your personal style
  2. Invest in quality (quality over quantity)
  3. Know your body what works with your body type ..
  4. Less is more when it comes to prints n accessories (attention to details )
  5. Pick the right colours for your wardrobe ,invest more in neutral colours (white ,black,grey ,navy ,camel etc .)

There you have it afromates, ukijua hivi vitu vitano basi inawezekana ukaweza kufikia level za Lavidoz.

Related posts

1 Comment

  1. ประกันรถยนต์ออนไลน์

    … [Trackback]

    […] Find More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/5-tips-on-how-to-be-classy-and-stylish-according-to-lavidoz/ […]

Comments are closed.