kuna vitu vidogo vidogo ambavyo mwanaume unaweza kufanya ukaonekana smart, stand out na kuleta mvuto katika muonekano wako, wengi wetu hudhani huitaji kupendeza kwani wewe ni “mama” lol now days wadada wanavutiwa na wakaka walio smart.
Leo tunakuletea tips 5 za kuonekana sexy ukiwa umevalia shirt,
Collar Iliyosimama
Unaweza kusema Afro mpaka collar, yes mpaka collar. Collar ambayo ime (flop) au kulala inaharibu muonekano wako unaonekana cheap tofauti na ukivaa collar iliyosimama hata kama ukifungua vifungo au kufunga itaonekana smart.

Layering
Ikiwa ni mara chache kwa wanaume ku-layer mavazi kutokana na kwamba mwanaume haitaji mambo mengi kama ambavyo mtaa unasema lakini ku-layer kunaleta utofauti na hasa ikiwa rangi zimepangiliwa vyema.

Slim Fit
Ilikuonekana sexy katika vazi la shirt / shati hakikisha vazi hili linakutosha vyema lisiwe linakubana sana au kukuachia sana, iwe una kitambi au 6 packs bado utapendeza.

Kukunja Mikono
Mikono inatakiwa kukunjwa hakikisha imekunjwa vyema, haija tunatuna au kuonyesha nyuzi za ndani za shirt, kukunja mikono hakufanyi tu kuonekana sexy bali pia hufanya muonekano kuonekana stylish.

Chomekea / Kutokuchomekea
Shirt zenye muundo wa U chini zinaweza kuchomekewa au kuto kuchomekewa wakati zile shirt ambazo zipo flat chini ni muhimu kuchomekea na kama shirt ni refu sana basi ni vyema likachomekewa.

Well tuambie ni tip gani nyingine huwa unatumia?
Related posts
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…