Tukiwa tuna approach kuingia 2017 tumeona tuwape ideas za nini nini tukiache kibaki 2016 . na ni kama ifuatayo
1) Wanaume kuvaa ma top dress tshirt, Hii hata hatujui ilikuwaje a trendy kwa wanaume… ukikuta mwanaume kavaa hivi ni kama una muona mwanadada kavaa tight na blouse ndefu tuiache tu ibaki 2016,2017 tuvae tu T-shirt zetu za kwaida
2) Wanume kusuka nywele za kike, tuwaachie wakina Chris Brown na sisi tubaki tu na U Africa wetu tutapost hair styles nzuri zinazo wa suit wanaume wa ki Africa bila kuwa too much
3) See through Tops, Dress Etc – Tumesha ona vyote tafadhalini mwaka 2017 tupumzisheni hii fashion iishie 2016. Wengine hata hazitupendezi ila ni vile tu kiingiacho mjini
4) Viatu vya manyoya – please leave these shoes in 2016 tafadhalini, ni kitu kimoja kuvaa fur Nchi za Nje na kingine kuvaa Dur Slippers Africa, hasa ukiangalia na hali yetu ya hewa
5) Slip Dresses over T-shirt – sasa zirudi ziwe tu za kulalia as zilikuwaga, tuzipumzishe 2016 vaa slip au t shirt lakini usivae zote kwa pamoja ina chosha
6) Plastic Shoes – hatuku zipenda 2016 hatuto zipenda 2017 zibaki tu huko huko, zinaonekana cheap na kuzivaa hivi viatu bongo na hii hali ya hewa una hitaji moyo wa ziada
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…