Kuchagua vazi lako la harusi si kazi ndogo lakini kazi kubwa pia ipo kwa wabunifu kubuni vazi ambalo eidha yeye mbunifu kalifikiria au kusaidiana na mwenye sherehe yake, 2017 ina karibia kuisha na hizi ndizo zilizo tuvutia kutoka kwa wabunifu wa tatu wa nguo za harusi Tanzania
Kyamirwa ni mbunifu ambae ana kuja juu kutokana na kubuni mitindo ya kipekee hasa ya harusi kwa wanawake iwe wedding guest, send off, na sherehe nyingine mbali mbali hizi tatu kutoka kwake zilituvutia zaidi
Muslim Bride – hili gauni limetuvuta kwa jinsi lilivyo buniwa vizuri zimekuwa presented neatly, tumependa jinsi ambavyo bi harusi amevaa hijab yake na hajaboa
Lace Dress – hii gauni ipo simple well fitted ni nzuri kwenye reception au kanisani kama utajifunika veil
Tumependa rangi na jinsi ambavyo nguo imebuniwa bila makelele, kwa sababu rangi ime shout mbunifu akaamua kukeep it simple na urembo.
ukiongelea wabunifu wanao fanya vizuri upande wa nguo za harusi za wadada huwezi kuacha kumtaja Elisha Red Label ni moja ya wabunifu wanao fanya vizuri kabisa na hizi ndio 3 tulizo zipenda kutoka kwake
tumeipenda hiiĀ detachable wedding gown kutoka kwa Elisha huku kwetu tunaiita kipepeo kutokana na muundo wake, well perfect color coordination na alieivaa amependeza sana
This blue dress brow our mind away kila tunapo liona, hii ilikua khatari Elisha hizi touchs si za hapa
Pink and gold off shoulder wedding dressĀ
Kwa mwanadada ambae nae amejikita kwenye ubunifu wa mavazi ya maharusi Fifi_sugardesign nae tulipenda hizi kutoka kwake
tumependa hii gauni kutokana na jinsi kitambaa kimepangiliwa, uniqueness ya kitambaa na simple mshono
Mustard color is bar na ruffles are so in right now, Fifi gave us both in one this dress is fire.
tuna hope tuone vikubwa kutoka kwenu mwaka 2018, keep up the good work
Related posts
1 Comment
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More Info here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/8-best-wedding-dresses-kutoka-kwa-wabunifu-kutoka-tanzania-2017/ […]