Wabunifu wanaendelea kuwa inspired na vitu mbalimbali, miaka ya 1980, ambapo Maison Margeila alitengeneza hivi viatu akiwa inspired baada ya kutoka Trip, Japan. Japo kiatu hiki kimebuniwa miaka mingi nyuma bado kinaonekana kuwa iconic na kuendelea kuwepo kutoka na utofauti wake.

Hiki kiatu kina split toe ( kipo kama kwato) na chunky heel, tumeona watu maarufu mbalimbali wakiwa wamevalia hivi viatu na hivi karibuni tumemuona mwanamziki Cardi B akiwa amevalia vya rangi nyeupe.

Viatu hivi vinathamani ya $980 sawa na Tsh 2,272,579.49, well #afromates thoughts on the shoes je ni chop au drop?
Related posts
8 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/a-chop-or-drop-maison-margiela-tabi-boots/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/a-chop-or-drop-maison-margiela-tabi-boots/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/a-chop-or-drop-maison-margiela-tabi-boots/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/a-chop-or-drop-maison-margiela-tabi-boots/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/a-chop-or-drop-maison-margiela-tabi-boots/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/a-chop-or-drop-maison-margiela-tabi-boots/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 43887 more Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/a-chop-or-drop-maison-margiela-tabi-boots/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/a-chop-or-drop-maison-margiela-tabi-boots/ […]