Ultra Violet 18-3838 ndio ilitangazwa kuwa rangi ya mwaka 2018, japo haikukiki sana mwanzoni lakini kwa sasa kila fashionista ana jaribu kuonyesha umahiri wake katika kustyle na kuvaa hii rangi. Kuna wale ambao wanavaa head to toe lavender na kuna wale ambao wanaonyesha ujuzi wako kwa kuchanganya rangi hii na rangi nyingine, we are here for it.
Wachaguaji wa rangi hizi Pantone wameeleza kuwa kuwa ni rangi yenye kumaanisha upekee kwa kila mtu yenye kusimamia uhalisi, uelekevu na usawa kwa watu. Rangi yenye mfanano na anga za mbali katika sayari (galaxies) hivyo kumaanisha chochote chawezekana na yenye kutupeleka in the future.
Unaweza kuangalia hapo chini namna fashionista’s walivyokupa ideas za namna ya kustyle rangi hii
- Lavender suit na stripes
tumemuona fashion blogger mimigstyle akiwa amevalia suit ya rangi hii ambapo yeye alichanganya na top ya mistari nyeusi na nyeupe akamaliza na viatu vyenye rangi hii ya kukoza na miwani na drop earrings, tunaweza kusema hii rangi imetulia mno unaweza vaa vyovyote ikakubali.
- purple feathers
mwamamuziki Cardi B yeye alionekana katika Paris Fashion Week akiwa amevalia hii extra jumpsuit ya purple ikiwa na feathers amemaliza muonekano wake na nywele zenye rangi sawa na suit na viatu vya silver. Yes Cardi slay on them
- Pant It
Kama hupendi kuwa full Lavender unaweza kuchagua kuvaa moja kati ya suruali, skirt au top ya rangi hii ku represent for the culture
- color blocking
Jacqueline Mengi ametuonyesha how its done kuvaa rangi hii kama top huku ukiwa umechanganya na rangi nyingine, she shine’s bright.
wakati blogger style pantry yeye akitupa date night outfit idea akiwa amevaa rangi hii na rangi ya njano, we feeling it.
Well hii ndio rangi inayo kiki kwa sasa ukiachana na neon colors, unaweza kujaribu kuvaa na usisite kututag kama utafanya hivyo
Related posts
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…