Abby Plaatjes ni muigizaji, Radio host, mfanyabiashara lakini tulipata kumjua baada ya kwenda kushiriki shindano la Big Brother Africa, Abby hakushinda Big Brother but she surely leaved a mark, kwa sasa hasikiki sana ila all we know ni kwamba she slays na anaweza kuwa moja kati ya watu ambao ukiwaalika katika shughuli yako ujiandae maana anaweza kukufunika.
Weekend hii Abby ali attend harusini kama mgeni mwalikwa akiwa amevalia gauni la cream kutoka kwa mbunifu Kyamirwa , amevaa gauni lake hilo na head wrap
kutoka kwa make up artist thestudio_26 ambayo iliendana rangi na gauni lake, ame paka make up nzuri lakini she made a statement na gold earrings which went perfect well na rangi ya nguo yake
tumependa hii gauni ilivyo simple & elegant, we love every thing that is going on hapo kwenye marinda. kamaliza muonekano wake na black heels. Tunatamani angepata viatu rangi nyingine sio nyeusi lakini haija chusha pia.
Dress @kyamirwa
Makeup @the_studio_26
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…