Wanasema kwenye harusi hutakiwi kuonyesha too much cleavage as uta ondoa attention kwa bi harusi na watu kuwa wanakushangaa wewe na kifua chako, lakini hio haimaanishi usivae off shoulder au strapless dresses but mishono hii sasa ishakuwa common kama ukitaka kuonyesha a little skin basi utavaa strapless dress au off shoulder dress.
Well seems like mafundi na wataalam wa mitindo wamekuja na style hii mpya inayotend kwa sasa ambapo wameongezea chachu ya puff detail kwenye strapless dress ili kuondoa ile boring look na mfanano unapovaa strapless dresses
Tumeiona kwa muigizaji na fashionista’s Elizabeth Michael yeye alivaa hii kwenye sherehe ya wadogo zake ambapo alivalishwa na pete pia siku hio, amevaa this type of dress in yellow color & doesn’t she look sensational?
Muigizaji Rita Dominic yeye alihudhuria tuzo za AMVCA akiwa amevalia gauni la aina hii yeye alivaa in blue color, akachagua puff iwe kubwa kidogo ku-make a statement kwenye red carpet we love love.
Wakati mbunifu kutoka Nigeria pia Bolaji Chizoba Ayinde alionekana katika aina hii ya mshono ambapo yeye alivaa kama two pieces skirt ya blue na top ya purple we love the color combo na hii statement puff detail.
Well we hope tumekupa idea ya mshono utakao vaa kwenye harusi yako ijayo.
Related posts
1 Comment
Comments are closed.
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Masum
[…]usually posts some quite intriguing stuff like this. If youre new to this site[…]