Kuna msemo unaosema ” Handbags Speaks Louder” huu si utani, kama kuna kitu ambacho huongea kwa sauti ni handbag na viatu, pale ambapo kimoja kikiwa kime fail basi outfit nzima ina fail, sio lazima handbag au kiatu chako kiwe original lakini hakikisha vina look smart na kuendana na mahala uendapo.
Hizi ni aina 5 za handbag ambazo kila mwanadada anapaswa kuwa nazo
Neutral Color Carry All Bag
Hii ni ile day to day bag ambayo wengi tunaibeba iwe ma-ofisini, katika mihangaiko yetu ya hapa na pale, linaitwa carry all bag sababu humo kinaingia kila kitu kuanzia simu, funguo za gari, waller, hela, vitambulisho, flat shoes etc. Hii ni perfect kwa ajili ya mizunguko yako as unaweza kuhifandhi kila kitu unacho hitaji katika safari yako, mostly inapendeza ikiwa neutral color sababu rangi hizi zinaingiliana na kila nguo lakini pia hutaku kuonekana una shout katika ofisi au mikusanyiko ya watu.
Cute Clutch
Hii kwa ajili ya ile mitoko ya usiku, date date, harusi, red carpets etc huihitaji kubeba handbag kubwa kwenye events kama hizo, una hitaji a clutch to fit in your mascara, id’s, fedha na simu.
Cross Body BagĀ
Hii ni ile weekend friendly bag, tunalipenda hili bag sababu ipo too cool & chilled halina makelele lakini pia sio kubwa wala sio dogo, ina fit kila kitu na extra kidogo, this bag is so stylish and meant for weekends & holidays
Mini BagĀ
Mini bag zina trend sana kwa sasa na zipo very stylish lakini wengi wananunua na hawajui wazibebe wapi well let us tell you, unaweza kuzibeba kwenye brunch na events ambazo hubebi vitu vingi hii ni another version of clutch ila imebuniwa in carry it all style. Fashionista wengi wanazibeba sasa hivi ila wale huwa wana show off tu katika picha zao usidanyanyike kuibeba ofisini hizi bag are meant for certain events.
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/aina-4-za-mikoba-unazopaswa-kuwa-nazo/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/aina-4-za-mikoba-unazopaswa-kuwa-nazo/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/aina-4-za-mikoba-unazopaswa-kuwa-nazo/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/aina-4-za-mikoba-unazopaswa-kuwa-nazo/ […]