#roadtoFrancilizy ndio kama imeanza taratibu ni mambo ya kutu surprise tu, walitu-surprise na engagement na leo tumepewa surprise ya mahari day, usiku wa kuamkia jana muigizaji Elizabeth Michael ametolewa mahari na mchumba wake Francis a.k.a Majizzo, huwa tunapenda mavazi ya Elizabeth akiwa ana attend events au harusi za watu wengine, anapaniaga haswa & tulikuwa na shauku ya kuona yeye atavaa nini katika harusi yake, na ndio ameanza kutupa rasha rasha za huko tunapo elekea, kwenye engagement ilikuwa surprise kwake pia so she wore a beautiful yellow dress.
Jana haikuwa surprise alijipanga and she chose to wear this dress kutoka kwa @secky_land_of_fashions, ni nude dress ambayo ina sequins za silver, we love the cape hand shoulder detail, zimeongeza chachu katika dress.
Makeup done by @lavie as usual she didn’t dissapoint us kwenye makeup we love the pink lipstick imefanya outfit iwe na rangi, the highlighter can be used as torch umeme ukikatika, hair style on point.
Wakati kwa bwana Majizzo yeye alivaa burgundy shirt akiwa amemalizia na blue trouser na black shoes, well congrats to Lulu & Majizzo.
Let us know your opinion katika mavazi yao wame slay or nah? appropriate kwa mahari day au hapana?
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/alichovaa-elizebeth-michael-lulu-katika-siku-yake-ya-mahari/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/alichovaa-elizebeth-michael-lulu-katika-siku-yake-ya-mahari/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/alichovaa-elizebeth-michael-lulu-katika-siku-yake-ya-mahari/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/alichovaa-elizebeth-michael-lulu-katika-siku-yake-ya-mahari/ […]