Weekend ilikua na kila aina ya shamra shamra kaka yetu Ay ameoa lakini pia Gigy Money amefanya baby shower yake, yes watu walipendeza & she did look good with some cloth on,
Tumependa kwamba amevaa kitu na kuchukua muda wake kushirikisha designer na fashionistas katika mavazi yake
Gauni ya kwanza alivaa Dash Dash kutoka kwa @2colections_dubai, Alipendeza sana, make up. nywele, accessories on point japo this is a baby shower sio maulid we expected something simple na rangi iliyo tulia kidogo, kama nyeupe, pink, blue etc. She looked good though.
Vazi la pili lilitoka house of stylish, kwa dada Wolper tuna furahi kuona wasanii wana supportiana lakini pale mtu anapo amua kuku-support jaribu kumpa kile anacho stahili again this was a baby shower, tulitegemea Wolper angemvalisha Gigy a simple dress yenye rangi moja,kuna vitu vingi vinaendelea kuanzia rangi, pattern za kwenye kitambaa, accessories just too much. Japo tumependa kwamba Gigy amejaribu kujiweka kimama.
Tupe maoni yako wewe je katika Hizi outfit ipi ni hit na ipi ni Miss?
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/alichovaa-gigy-money-katika-baby-shower-yake/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on to that Topic: afroswagga.com/mitindo/alichovaa-gigy-money-katika-baby-shower-yake/ […]
… [Trackback]
[…] There you can find 9852 additional Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/alichovaa-gigy-money-katika-baby-shower-yake/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/alichovaa-gigy-money-katika-baby-shower-yake/ […]