Anamajina mengi mno unaweza kumuita Ally Khery,Ally Hassan,Ally DAXX Hassan lakini wengi tunamjua kama Daxx Cruz ni mwanamitindo wa kiume kutoka Tanzania ambae ana ipeperusha bendera yetu vizuri zaidi.
Dax ameanza kuonekana kwenye majukwaa muda mrefu kwa Tanzania amesha wahi kuonekana katika jukwaa la Swahili Fashion Week,Maridadi Fashion Show na mengine mengi.
Baada ya hapo Daxx akaanza kuonekana kwenye majukwaa makubwa kama Mercedes-benz fashion week lililo fanyika mwaka 2012 huko Africa ya kusini
Pia akaonekana kwenye majarida ya magahazeti mbali mbali nje na ndani ya nchi kama katika gazeti la Destiny Man Magazine nchini afrika kusini
na gazeti la FAS
Tunaweza kusema Dax dhumuni lake si kuwa maarufu kama wafanyavyo watu maarufu wengine lakini yeye dhumuni lake ni kufanya anacho kipenda kwa ufanisi zaidi na kuipeperusha Tanzania kupitia sekta ya mitindo.
Na kwa kuthibitisha hilo daxx ameonekana katika gazeti kubwa liitwalo Essays Of Africa kutoka South Africa mwaka huu ambapo kwa sasa ndipo anapo ishi na kufanyia kazi zake.
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/ally-kheryally-hassan-daxx-cruz-au-mr-fresh/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/ally-kheryally-hassan-daxx-cruz-au-mr-fresh/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/ally-kheryally-hassan-daxx-cruz-au-mr-fresh/ […]