Ally Rehmtullah si jina geni masikio mwa wengi, ni mbunifu kutoka Tanzania ambae amezalia january 18 1986, Ally (29) baada ya kumaliza masomo yake huko United States alirudi Tanzania na kuanza kazi kama mwalimu wa graphic arts, lakini hakukaa sana aliamua kujikita kwenye ubunifu.
mwaka 2006 Ally alipata nafasi ya kushiriki katika mashindano ya Redd’s African Fashion Design Awards (RAFDA) ambapo alimbunia Jokate Mwegelo gauni la jioni, ambapo Jokate alikua Reds Ambassador wa mwaka huo. Huo ndo ulikua mlango wa Ally kutokea kwa maana mwaka huo huo Ally alifanya onyesho lake la kwanza mwezi wa kumi na mbili onyesho hilo lilitwa Smiling Face Entertainment mashabiki walipenda ubunifu wake.
Kuanzia hapo Ally alianza kuonekana kwenye majukwaa mbali mbali kama Swahili Fashion Week,B&B Fashion House,Tanzania Red Ribon Fashion na mengine mengi nje na ndani ya nchi. amefanya maonyesho mengi kama Going chic with Safari inspired wear,
Ally Rehmtullah’s 2025 Collection
TEMPTATIONS
Kwa sasa Ally ni mbunifu mkubwa sana Tanzania na anamiliki duka lake la ubunifu wake maeneo ya masaki jijini Dar Es Salaam.
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/ally-rehmtullah-alipo-toka-na-alipo-fika/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/ally-rehmtullah-alipo-toka-na-alipo-fika/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/ally-rehmtullah-alipo-toka-na-alipo-fika/ […]