Msanii mwenye A.K.A zake nyingi kidogo, Naseeb Abdul a.k.a Diamond Platnumz ukipenda muite Chibu dee Chibude au kwa sasa anaitwa baba watatu ame toa wimbo mpya unaoitwa Hallelujah wimbo mzuri sana ni wimbo utakao ishi maana haukinaishi kuusikiliza lakini sisi hatupo huko sisi tupo kwenye fashion, na leo tunafanya review ya video hiyo ya Hallelujah kutoka kwa Diamond Platnumz,
We must say stylist amefanya kazi nzuri, inaonekana sasa wasanii wa Africa wameamua kutumia vitenge katika video zao which is ni kitu kizuri kutangaza vya kwetu, katika hii video mwanzo Diamond amevaa denim on denim na hood ya mustard, amependeza mno as denim on denim huwa inapendeza mno na kupop up that mustard color imefanya ang’ae
kwenye scene nyingine diamond ameoekana kuvalia all black huku akiwa ametupia na military coat as usual akiwa ametupia accessories zake na kofia aina ya boshori (mzuula)
Scene nyingine ameonekana akiwa amevalia suruali ya kitenge, shirt nyeupe huku akiwa ameegesha denim coat iliyo ongezewa touchs za dashik, amemalizia muonekano wake na kofia ambayo inaendana na kitenge cha suruali, viatu vyeupe, mikufu na miwani.
wakati mwisho kabisa ameonekana kuvalia pink kofia na jacket
alio washirikisha yaani Morgan Herritage na wengine walivalia black, kilicho tuvutia zaidi ni jinsi walivyo changanya culture ya Jamaica na Africa ambapo wasichana walivaa vitenge (african culture)
na wengine wakiwa wamevalia Jamaican bejeweled bikini’s kama zile anavaaga Rihanna akiwa Barbados
Fashion katika video hii tunaipa 99.5 ukitoa kwamba diamond ame rudia sana accessorize na boshori mara nyingi katika wimbo huu lakini pia ameshazitumia katika video zake mbali mbali.
unaweza kuitazama hapa
Related posts
4 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More on to that Topic: afroswagga.com/mitindo/amvfr-hallelujah-by-diamond-platnumz/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/amvfr-hallelujah-by-diamond-platnumz/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/amvfr-hallelujah-by-diamond-platnumz/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/amvfr-hallelujah-by-diamond-platnumz/ […]