Tukiwa tunaanza mwaka 2019 tuliweka malengo ya kujiwekea mwaka huu, lakini leo tunakuletea makosa ya fashion ambayo wengi huwa tunayafanya na tuna paswa kuyaacha,
ukiongelea kuhusu fashion ina wigo mpana sana ni vyema kuwa unajaribu ku-experiment vitu mbalimbali ilikukupeleka pale unapo pataka, well tuone makosa yapi inabidi yaachwe
- Limitation
Kama ambavyo tumesema fashion inawigo mpana, wengi huwa tunajilimit tunavaa mavazi aina fulani kwa kudhani tu kwamba mavazi haya ndiyo yanawapendeza kuliko mavazi fulani lakini kumbe anaweza kuvaa mavazi ambayo anahisi hayampendezi na yakampendeza vyema tu. Wengine wana ji-limit kutokana na umri na maumbo yao, well mwaka 2019 tungependa uache kujilimit na kuanza ku-dare watu wengi ambao wanaitwa fashion icons ni wale ambao wapo tayari kwenda extra miles bila kujali nani atasema nini as long as they look good and different its all good to them. 2019 explore the fashion world.
- Fighting Size
Kujua size yako ni jambo muhimu sana katika fashion every one looks good in fitting clothes, kuvaa mavazi makubwa kuliko size yako kunahide feature’s zako na kuonekana umeelemewa na mavazi,kuvaa mavazi madogo hakuleti picha nzuri the only way ya wewe kuonekana vyema ni kujua size ya mavazi yako, most fashionable people duani wanavaa mavazi ambayo yana wafit perfectly,
- Kupangilia Mavazi
Unatakiwa kujua rangi gani inaendana na rangi gani, ukivaa nguo kubwa chini juu unatakiwa kuvaa nguo ndogo ili ubalance propotion, kuvaa nguo zote kubwa anaoenaka umeelemewa na vazi, unapovaa zote ndogo unaonekana umebanwa sana jua kubalance propotion na hii ni hata kwenye rangi, unapovaa one shouting color basi jaribu kuvaa na ambayo ina calm color ili kutoku-compete katika muonekano wako.
- Ditch The Trend
Ilikuwa fashionable kwenye dunia ya fashion unahitaji ku-stand out, kuwa nje ya box kuna msemo huwa unasema in the World full on the kardashian be the Beyonce, hata kama ukivaa hio trend jaribu kuistyle kuwa watofauti.
Haya mambo matatu yaaweza kuwa madogo lakini huwa yana haribu mionekano ya watu kwa kiasi kikubwa mno 2019 jaribu kujifunza kuviepuka hivi vitu na mwisho wa mwaka utatupa majibu ya namna ambavyo hii article imekusaidia.
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] There you can find 34338 more Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/anza-mwaka-wako-2019-kwa-kuacha-makosa-haya-ya-fashion/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 481 additional Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/anza-mwaka-wako-2019-kwa-kuacha-makosa-haya-ya-fashion/ […]