Suit (suti) ni vazi moja lina heshimika sana, japo si wengi ambao tuna lipendelea hasa kwa sababu ya hali ya hewa pia lina onekana boring, lakini kwa wale ambao wana livaa huwa lina wapa heshima fulani watu huwaona kama watu makini na muhimu katika jamii, na hii ndio ilileta msemo ukivaa suti afu utembee kwa miguu ni dharau kwa vazi hilo, vazi hili lina valiwa kwa pande zote mbili wanaume kwa wanawake lakini leo tutaangalia upande wa wanawake zaidi,
unaweza kuchanganya rangi kama inavyo onekana hapo juu lakini pia ina pendeza zaidi zikiwa rangi tulivu, suit inaweza kuvaliwa na viatu virefu na hata vifupi.
Lakini pia hata suit ya rangi moja huvutia hasa kama hupendi rangi rangi na kama una enda kwenye mikutano muhimu.
zipo pia suit za sketi nazo ni nzuri kama una taka kuonekana sexy na ku flaunt miguu yako.
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Info here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/anza-wiki-yako-kwa-kuvaa-suti-kazini/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 44901 additional Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/anza-wiki-yako-kwa-kuvaa-suti-kazini/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/anza-wiki-yako-kwa-kuvaa-suti-kazini/ […]