Moschino wamekuwa wakitupa ile “what the hell” Feeling kila mara wanapo toa designs zao, from chandelier dresses
Flower bouquet dresses
na sasa wamekuja na Dry Cleaning Bag Dress ambayo imetengenezwa na transparent polyester kutoka kwa re-used plastic bags, mara ya kwanza ilikuwa debuted katika autumn/winter 2017 showcase ambapo Stella Maxwell alivalishwa na kupita nayo katika run way akiwa amekuwa accessorized na apiece of hanger kichwani
Kama ni mpenzi wa kupeleka nguo dry cleaner utakua unaijua hii mifuko huwa wanatumia kuifadhia nguo zikisha pigwa pasi na kufuliwa zisiingie vumbi, lakini hata mtu wa kawaida unaweza kuwa nayo kuifadhia nguo zako wenzetu nje wanatumia sana na ma stylist pia wanaitumia sana katika kazi zao.
kitu ambacho moschino wameongezea katika mifuko hii ni izo graphic za label yao na maandishi mengine mengine, inauzwa $700 sawa na pesa yetu ya Tanzania Tsh 1,540,000/-
je ni ubunifu au ni trash na je utavaa nguo yako ndani nje ukavaa huu mfuko?
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] There you can find 30386 more Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/art-or-trash-moschino-700-dry-cleaning-bag-dress/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/art-or-trash-moschino-700-dry-cleaning-bag-dress/ […]