ASC au Afroswagga Shade Chamber tulichukua muda wetu kukaa na kufikiria wale wasanii walio kuwepo zamani waka tamba na kila gazeti waliandikwa, wawe bado wapo kwenye peek au lah hawa watu hawako sawa kabisa katika swala zima la mitindo yaani una weza kukutana na picha ya mtu uka jiuliza mara mbili mbili huyu ni yule ambae tunamjua sie ambae alikuwa hakauki kwenye magazeti au mwingine? nywele zipo vibaya, achana na nywele bado wana paka ule wanja wa sina mume, make up haziko vizuri na mavazi ndio husiseme ukiuliza nini eti tumekua jamani mna mjua Jada Pinket Smith? ana miaka 45 na bado she is kick it na fashion ana kimbizana na mwanae
na no hatusemi mkae utupu ila jiwekeni wasafi basi, Angelina Jollie ana miaka 41 lakini huwezi hata ku notice kwamba yupo on her forties
na wengi wenu hata 35 hamja vuka basi tu kujiweka ovyo huko mitandaoni hadi tunaona shida kuwa follow na wengine hadi mna sahaulika kwa jinsi mnavyo jiweka, kuna watu wapo mpaka leo ni kwa ajili ya wanavyo ji weka watu kama Monalisa,
Rose Ndauka
Natasha
mama wa Monalisa wapo enzi na enzi na mpaka leo kwa sababu wana keep up na muda na huko ndio kuji brand, Mama yake Monalisa ana jitaidi hata kupungua mwili na ana mtoto mkubwa kama Mona wewe una mtoto wa miaka mitano ume jiachia ukiulizwa eti nimesha kuwa mama, msitufanyie hivyo jamani mna potea kwa sababu ndogo sana. Please badilikeni
Related posts
4 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/asc-wasanii-wazamani-fashion-ime-wakosea-nini/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/asc-wasanii-wazamani-fashion-ime-wakosea-nini/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/asc-wasanii-wazamani-fashion-ime-wakosea-nini/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on to that Topic: afroswagga.com/mitindo/asc-wasanii-wazamani-fashion-ime-wakosea-nini/ […]