Ule wakati ambao wengi tunauchukia umeshafika, wakati ambao wanafunzi wanafungua shule. sisi wengine tunachukia mibanano kwenye magari na wakati wanafunzi wakichukia kurudi masomoni ( well kwa wale wasio penda shule).
Hapa hatuongelei wanafunzi wa shule za misingi maana wao wanavaa uniform hapa tunaongelea wale wa vyuoni wanaovaa wanavyo jisikia ili mradi tu uendane na maadili ya chuo, katika vyou vingi sasa hivi wameweka kanuni za vipi mwanafunzi wao anatakiwa kuvaa, baadhi ya kanuni hizi tumejaribu kuulizia ni
- huruhusiwi kuvaa skirt au gauni lililo juu ya magoti, lazima zivuke magoti.
- suruali au nguo zinazo bana zimepigwa marufuku.
- blouse lazima ziwe na mikono mirefu
Basi tukaona si mbaya kwa wale ambao wanaanza hawajui wavaaje au ambao tayari walisha anza na wanashindwa kuji-style kutokana na mazoea fulani wakapata idea ya jinsi ambavyo wanaweza kurudi chuoni in a stylish way.
Kwanza kabisa unatakiwa ujue upo chuo na haupo kazini maana wengine wana aa utafikiri waajiriwa so official wakati chuo ni sehemu ya kusoma lakini pia ndio kipindi cha ujana ku-have fun.
Lakini pia umeambiwa uvae mavazi yasiyo bana basi ndio ujump to conclusion ya viroja na madira, kwa kanuni hizo unatakiwa uvae business-casual sio official sio casual yaani upo katikati, vipi? ungana nasi hapo chini.
Pallazo ni one thing hutakiwi kumiss katika kabati lako, unaweza kuvaa na long sleeve top, flat shoes na backpack (essential)
A long skirt dont have to be boring, stripes are so in right now unaweza kuchagua zinazo trend kama stripes au pleated skirt na kuistyle upendavyo.
Kwasababu hutakiwi kuvaa suruali au nguo ya kubana unaweza kuvaa skin jeans, blouse inayo kuachia na ndefu ukatupia na cardigan ndefu au kimono kwa juu,
Long dress ya chaguo lako inaweza kuwa kata mikono, ukavaa na bomber jacket ili kuficha mikono mifupi, uka accessorize na scarf kuficha kifuani. Decent & stylish.
Have fun in college.
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/back-to-college-outfit-ideass/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/back-to-college-outfit-ideass/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/back-to-college-outfit-ideass/ […]