Wakati tukifikiri tumesha yaona yote kutoka kwa wabunifu Balenciaga wao wana tuambia the night is still young, bado kuna mengi ambayo yanakuja na yanafurahisha na baada ya kuleta zile ugly daddy shoes na zile yeboyebo za kuvukia mto sasa wameleta yeboyebo zenye kisigino kirefu,
- Spotted Rayvany Na Billnass Wakiwa Wamevaa Balenciaga Ugly Sneakers
- Balenciaga Gone Gaga With This Balenciaga Crocs
Wakati wengine wakiwa wanasema Balenciaga should fire their creative director wengine wanasema hiki kiatu ni lazima kiingie kwenye shoe collection yao, as usual tunamacho lakini mboni tofauti,
Kuna rangi nyingi ikiwepo pink na hivi vyeusi ambavyo vina tukumbusha viatu vya zamani wadada walikuwa wanavaa, the one fact about vile viatu vilikuwa vikiisha kisigino hasaa kwa sababu ni plastic well hatujui kuhusu hivi vya balenciaga vipoje.
Bado havija ingia sokoni na hatujajua lini vitaingia sokoni na vitauzwa bei gani what we know ni kwamba we are going back to the 90’s the hard way
Tuambie je kwako unavionaje?
Related posts
HOT TOPICS
As long as hakuna Aya,Mstari Au Kifungu Kinachosema “Kuto Kuoga Ni Dhambi Au Kosa Kisheria” Then Perfume na Bodyspray Tu Zinatosha Msimu Huu
FollowDown To Very Little Details, Read More Here 👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾 https://t.co/IeYufSGMgy https://t.co/IeYufSGMgy
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…