Weekend hii imekua nzuri sana kila kona unayo pita unakutana na watu wamependeza ni kama wameambizana, this weekend was all about looking good. Tumekutana na watu maarufu mbalimbali wamependeza akiwepo Jokate Mwegelo, Julitha Kabete, Diana Flave na stylist Lavidoz.
Miss Tanzania 2016/2017 Diana Flave alionekana akiwa ame attend Miss Kinondoni amevalia ball gown kutoka kwa @myweddingsolutions, rangi yake ni kama nude, her make up and hair were on point, tunatamani asingeivaa hio bracelet na angeingiza simu na funguo yake katika clutch but the dress is dope
Miss Tanzania aliye teuliwa kutuwakilisha Miss World, Julitha Kabete ameonekana in orange dress kutoka kwa Nigerian designer @feronaofficial
she dripped in Gold Ball Gown kutoka kwa mbunifu @mac_couture we looooove the dress, her makeup & earrings
Stylist Lavidoz yeye alikuwa in black & gold dress, ambayo ilikua na high slit mbele, amevalia gauni hilo na black & gold open heels huku akiwa amemalizia muonekeno wake na statement earrings
well the weekend treated us good week hii.
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/beautiful-dresses-we-spotted-over-the-weekend/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 43157 additional Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/beautiful-dresses-we-spotted-over-the-weekend/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/beautiful-dresses-we-spotted-over-the-weekend/ […]