Mwanadada Jacqueline Mengi ambae alikuwa Miss Tanzania mwaka 2000 aliandaa Beauty Legacy Gala ambayo ilikusanya warembo mbalimbali wa miaka tofauti tofauti. Theme ya event ilikuwa ni high tea.
Tukiongelea high tea ni chakula kinacholiwa jioni ila hiki ni lightly meal yaani chai na cakes, scones etc. Kwa sasa watu wengi wanatumia hii kama theme kwenye party zao. Outfit za high tea huwa ni fashionable dresses ambazo mara nyingi ni mid length hazifiki mpaka chini, kuna kuwa na loyal accessories kama fascinator , gloves, pearl accessories etc. Tuangalie je ma’miss wetu walivaaje.
J.N.Mengi mwenyewe alivaa hii over the knee Lavender dress yenye bow pamoja na black shoes zilizoendana na fascinator na gloves, Amemalizia muonekano wake na pearl jewelries pamoja na clutch, we have to say this is how you showed up as former Miss Tanzania, schooling these youngish

Wakati Miss Tanzania 2001 Happiness Magese nae alikuwepo yeye alivalia high low cut out shoulder dress yenye puffy sleeves na viatu, fascinator na clutch vya off white ambapo yeye alichagua kuwa minimum na accessories pamoja na makeup. We loveeed this look.

Miss Tanzania 2006 Wema Abraham Sepetu ambae yeye leo anafikisha miaka 30, Happy birthday Wema. Yeye alivalia pinkish dress akamalizia na pink shoes pamoja na black gloves na fascinator

Mwingine aliyekuwepo ni Miss Tanzania 2012 Brigitte Alfred , ambae yeye alikuwa ni full blush pink outfit

Miss Tanzania 3rd Run Up Lisa Jensen na yeye alikuwepo ambapo alivaa jumpsuit ya kijani akamalizia na viatu, belt pamoja na fascinator nyeusi

Wengine waliokuwepo ni pamoja na Basilla Mwanukuzi, Elizabeth Makune, Genevieve Mpangala pamoja na Sylivia Sebastian Bebwa, hatuna much cha kusema zaidi kuhusu outfit zao all we can say is wangefanya vyema zaidi kuliko hivi.

Well Afromates tupe maoni yako ni nani umependa outfit yake zaidi katika hii event?
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…