Week iliyopita mwanamuzi Solange Knowles ambae ni mdogo wa Beyonce alicover issue ya gazeti la ID Magazine ambapo aliongelea kuhusu kurudi kwake katika muziki akiwa ametoa Album yake mpya iitwayo “When I Get Home”, Katika gazeti hili Solange alionekana akiwa katika outfit tofauti tofauti moja wapo ni hii ambayo alivaa hizi kofia kama top juu
Channeling Michael Jackson, Solange alivaa kofia hizi nyeupe, gloves nyeupe pamoja na suruali nyeusi, socks nyeupe na moccasin nyeusi, very creative,
Lakini punde si punde tukamuona mwanadada kutoka Tanzania Lady Jay Dee akiwa na yeye amevalia hizi kofia as they say “great minds thinks alike” Jide yeye alionekana kuzishikilia zikiwa zimepangiliwa kiustadi kama Top, lakini yeye amefanya kuwa tofauti kidogo ambapo ameamua kuwa colorful akitumia kofia hizi kwa rangi tofauti tofauti, kama brown, blue, nyeusi na nyekundu,
Well Afromates how do you like this style? Clap or Slap?
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Here you will find 82352 more Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/because-one-hat-is-not-enough-lady-jaydee-inspired-by-solange-knowles/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 84795 additional Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/because-one-hat-is-not-enough-lady-jaydee-inspired-by-solange-knowles/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 18556 more Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/because-one-hat-is-not-enough-lady-jaydee-inspired-by-solange-knowles/ […]