Wengi tunamjua kama Eve Collections lakini jina lake asilia ni Evelyn Rugemalira, Eve ameanza kufanya ubunifu muda mrefu na ameweza ku-keep status yake mpaka sasa, Eve kwasasa ana miaka 50+ na bado ana slay kwenye mavazi, leo tunamleta kwenu kama muse wetu endapo una miaka kama yake au huna miaka kama yake basi uwe inspired nae.
Eve anapenda kuonekana classy mara nyingi mavazi yake yapo classy lakini pia anapenda details juu zaidi kuliko chini, tume notice pia ni mpenzi wa rangi nyekundu, well hizi ni baadhi ya looks tulizoziona tukapenda kutoka kwake.
Keeping it classy & chic

Tukiongelea occassion wear hasa kwenye birthday zake huwa anapendeza mno, baadhi ya ambazo tumependezwa nazo

Well tuambie look gani umependezwa nayo kutoka kwake?
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…