Leo nyuma ya brand tuko nae Martin Kadinda, huwezi kutaja Tasnia ya Mitindo na Ubunifu Tanzania na usimtaje Martin. Tunaweza kusema Martin amekuwa na Industry au Industry imekuwa na Martin, ameanza ubunifu akiwa mdogo na mpaka sasa huwezi acha kumtaja katika 10 bora ya wabunifu Tanzania.
Ukiachana na uwezo wake mkubwa kwenye ubunifu, Martin ni kati ya wale wabunifu wanaojipenda na kuvaa vyema katika maisha yao ya uhalisia, iwe casual au akiwa kwenye matukio maalum.
Kwenye casual huwa anatafuta namna ya kufanya muonekano wake uwe casual ila classy kwa kumix casual clothes na classy, kama atavaa suruali ya kitambaa basi atavalia na t-shirt na raba, kama atavaa jeans basi atavalia shirt na moccasin, anajua nini afanye kunyanyua muonekano wake.

Akiwa kwenye matukio maalum ndio utapenda zaidi maana anajua ku-keep it classy & fashionable, chaguzi zake za rangi za mitoko yake pamoja namna ambavyo anakuwa less but more ndio kinacho mfanya awe tofauti zaidi.

sisi yetu ni hayo tu tuambie kwako muonekano upi wa Martin umeupenda zaidi.
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…