Sasa tunaweza kupumzisha lace wigs zetu kwa kupata new accessory ya kichwani, the 90’s are coming back & beret hat ni moja kati ya trend ya miaka hiyo iliyo rudi kwa kasi. Ni kofia ambazo zimekaa girlish unaweza kuvaa na chochote kama gauni, suruali, skirt etc.
Amanda Dupont yeye ame style beret hat yake na leather pants, white tee na black heels, pop up a color na red lipstick
rethibe mendu dressed up red beret with white top, gingham pants na pochi nyekundu na black mules, amemalizia muonekano wake na rounded earrings na glasses she wore a trend on trend outfit
South African fashionista Pamela Tshingila yeye amevaa black beret aliyo i style na t-shirt nyeupe na flare min skirt nyeusi “monochrome look” akimalizia muonekano wake na glasses na saa.
Lizeka makala yeye alivaa flare gingham skirt, graphic white t-shirt, red beret hat amemaliza muonekano wake na red open heels, clutch na miwani seems like beret goes with glasses alot
Kwa Tanzania stylist Lavidoz ameonekana pia akiwa amevalia kofia hii nyekundu akiwa ame accessorize na eye cut glasses na rounded earrings huku akiwa amevaa na stripes shirt.
Nandy nae hakuwa nyuma akiwa amekuwa styled na stylist Joujou Nyaki alionekana akiwa amevalia pink beret akiwa ameistyle na pink crop top, black and white stripes skirt na pink boots “colorful”
Queen Bey yeye ametuonyesha namna ambavyo unaweza kuzivaa kofia hizi kwenye events za maana, she rocket a black beret with black dress
Je umependa trend hii? au hapana? tuachie comment zako hapo chini
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/beret-are-new-lace-wigs/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/beret-are-new-lace-wigs/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/beret-are-new-lace-wigs/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/beret-are-new-lace-wigs/ […]