Tunajua mlimiss hii segment, Yes we miss doing this too. Sote tunajua kwa sasa watu hatutoki toki kutembea lakini hii haimaanishi basi tusipendeze yaani tujiweke weke tu.
Leo tunakuletea best looks ambazo tumeziona Juma lililopita na zile ambazo tumeona zimekuwa kama covid 19, yaani kirusi.
Tunae Elizabeth Michael ambae yeye kwa sasa ni balozi wa DSTV, Eliza alitoka na hii powerful look akiwa amevalia black, white na red, its the details kwenye hii outfit ambayo imefanya muonekano uonekane powerfully & stylish.
Lakini pia tunae Stylist Noel Ndale, Noel na yeye alivaa black and white ambapo alivaa black & white polkadot co-ord set akiwa amemalizia na boots nyeusi, miwani, layered necklaces na pete. If this isn’t stylish fit then we don,t know what is.
Tunao Navy Kenzo, Aika na mpenzi wake Nahreel, wao walituma a vintage vine tulichopenda zaidi ni color coordination katika hii outfit, giving us couple goals and all.
Wakati kwenye worse look tunae Adam Mchomvu, hapa tunaweza kusema ni lack of styling maana suit ni nzuri sana ila ni namna ambavyo amezi-style zimefanya zionekane cheap na kupoteza mvuto wa suit hizi.
Well Afromates tuambie ni look gani kati ya hizi ambazo ni best look, imebeba look of the week kwa week iliyopita?
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/best-and-worse-looks-from-last-weeks/ […]
… [Trackback]
[…] There you can find 29859 more Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/best-and-worse-looks-from-last-weeks/ […]