Hii ni mara ya 18 toka tuzo za BET zianzishwe, mwaka huu zimefanyika Los Angels katika ukumbi uitwao Microsoft Theater, Watu maarufu mbalimbali walihudhuria na kama kawaida yetu huwa tunaangalia nani amevaa nini na Je nani ame tuimpress na nani angekaa tu nyumbani, tuanze na walio tufuraisha (good news first)
Blac Chyna alipendeza na hii outfit yake, tumependa the fact that alikuwa tofauti na wengine na tunaweza kusema ni yeye pekee ndiyo aliye make effort katika outfit yake, alivaa two pieces silver number amemaliza muoneano wake na see-through heels na finger weaves hairstyle, She added some color using her makeup.
Logan Browning akiwa amevaa vazi kutoka kwa Dion Lee, tumependa how stylish her outfit is na jinsi ambavyo amechagua kuwa safe kwa kuvaa rangi moja not too much going on.
Keyshia Ka’Oir looked beautiful akiwa amevalia gauni ya blush pink, hair & makeup on point. Sometimes all you need is the body to make your outfit look good.
Chloe & Halle this two sisters never do any wrong, tunapenda kwamba wanavaa age appropriate hawajaribu kuwa watu wazima sana, wanajua wanaenda wapi na wavae nini, whoever styles them know his/her job. wameingia katika list yetu ya best dressed ya mwaka huu pia.
Ashanti been looking good lately, she took our attention akiwa amevaa hii more of tuxedo dress ya velvet na ankle boots, kilicho make statemtent katika outfit yake ni hii mikono ya hii gauni ambayo ina-shout look at me being here.
SERAYAH Dripped in golden mind-bending skirt, akiwa ame match na crop top na amemalizia muonekano wake na blond bob,
Kwa upande wa wanaume tunao
T.I is always serving us some elegant look, he keeps it simple & fresh.
kwa wanaume 2 chainz risk it kwa kuvaa hii double-breasted Gucci suit, amemalizia muonekano wake na Gucci studded shoes na chains na miwani, well 2 chainz stylist real took his time to create this look we love love love.
Safaree Samuels
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/best-dressed-at-the-bet-awards-2018/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/best-dressed-at-the-bet-awards-2018/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/best-dressed-at-the-bet-awards-2018/ […]