Week iliyopita kulikuwa na sherehe mbalimbali kuanzia sikukuu ya Eid, Birthday’s na harusi, watu maarufu walihudhuria shughuli mbalimbali na wengi wao walivaa kwa kupendeza. Leo tunakuletea wale ambao tuliona wamependeza na unaweza kuiga mshono kutoka kwao
Tumemuona muigizaji Elizabeth Michael ambae alishehereka 28th Birthday yake na alivaliaa hii pink short dress kutoka kwa mbunifu Anna Collections, alimalizia muonekano wake na sleek hair do, makeup, statement earrings na matching pink heels. MUA @jodees__makeup, Hair @leluuhouseofbeauty, 👗 @anna____collections, 📸 @six_rango_weddings

Mwingine aliyeshehereke birthday yake ni muigizaji Hanipha, ambae yeye alivaa burgundy closet dress, alimalizia muonekano wake na up do hair style,makeup nzuri pamoja na accessories ndogo ndogo, tumependa simplicity na elegance ya hii look, anyways do you feel old yet? huyu ni yule aliyeigiza uncle JJ na Kanumba. Makeup @fettybaabde
Lens @fettymakeupstore, Nails @fettymakeupstore,Dress @jolijooh
Henna @fafa_henna21, 📸 @ashy_images

Muigizaji Wema Sepetu yeye alifturisha akiwa amevalia hii corset dress kutoka kwa mbunifu Shuu, the fit is on point, the extra vail made the whole look i-stand out, makeup on point lets say Wema did that japo tunadhani look ilikuwa nzuri sana for Iftar. 👗 @designed_by_shuu
Fbric @rama_fabric_tz 💄 @alexabeautyglam 📷 @icon_tz

Jojo Gray yeye alikuwa in a black detach dress kutoka kwa mbunifu Shuu, Dress @designed_by_shuu Fabric @rama_fabric_tz Makeup @makeupbyeddie_
📸 @icon_tz

Let us know nani umependa look yake?
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…