2016 haujawa mwaka rahisi kama miaka mingine ya kuchagua nani ni best dressed celeb kwa wasichana na wavulana, watu wamekuwa na muamko wa kuwa na muonekano mzuri, katika wengi hawa ni wachache tulio wachagua kwamba wame tisha mwaka huu kimavazi
1) Idris Sultan – huyu ni mshindi wa Big Brother Africa pia ni mchekeshaji, ame kuwa na mwaka mzuri mwaka huu kwa kushinda tuzo mbali mbali na ku sign mikataba mbali mbali ya kazi, ukiachana na hivyo vyote tuna penda Idris Sense of style akiwa casual au ndani ya suit ana jitahidi kupendeza na kupangilia vizuri rangi
2) Andru Julian Mahiga – ana julikana kama drudysseus, ni social entrepreneur, tunaweza kusema na yeye ameingia katika list yetu ya wanaume walio tisha kimavazi 2016
3) Ali Kiba – Ali Kiba ni muimbaji, muandishi wa nyimbo, producer na pia ni member of Tanzania wildaid, ame ingia katika list ya best dressed men 2016 tuna weza kusema Ali ame upgrade sana mwaka huu sio tu ki mavazi bali pia kuwa social. Thumb up Ali K mwakani iwe zaidi ya mwaka huu
4) Ommy Dimpoz – amekuwa akiingia katika list za wanaume wano pendeza kwa kuvaa mara kwa mara japo haja wahi kushinda au kushindanishwa katika Tuzo za mavazi labda ni nyota haonekani lakini Ommy ni moja kati ya Wanaume wa Tanzania Wanao tisha katika swala zima la mitindo na mavazi
5) Barnaba Boy Classic – huyu ni mwanamuziki na hit maker kwa sasa ana tamba na lover boy japo ana nyingine nyingi zilizo tisha nae ame ingia katika list yetu kilicho tuvutia kwake ni hii calm style yake yani habohi, hazidishi na wala hapunguzi
6) Wildad Agripa – ni mwanamuziki kutoka kundi la The Industry tulisha wahi kumuandikia hapa tume pendezwa na style zake mwaka huu na tuna weza kusema hili ni ingizo jipya kabisa kwa mwaka huu.
7 Gabo Zigamba – ni muigizaji kutoka bongo movie si mara nyingi huwa ana onekana hasa mitandaoni lakini akionekana utapenda maana he looks sharp kingine kuhusu Gabo una weza kusema kapendelewa lakini kuna post huwa ana post yupo kazini hatuwezi ku judge kwa hilo.
8) Nedy Music – ni mwanamuziki wa bongo flavor ambae ni kipenzi cha kina dada, we love his style mwaka huu na yeye pia ni ingizo jipya kabisa. Tunapenda watu wanao jitaidi kujiongeza
tuambie yupi ume mpenda zaidi, nani katisha nani kapendelewa? nani aongezwe kupitia
Instagram page yetu – afroswagga
Facebook – afroswaggamag
Twitter – afroswaggatz
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…