SUBSCRIBE NOW

* Afromate kuwa wakwanza kupata updates zetu za kila siku!

Trending News

Subscribe Now

* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!

Trending News

Blogger Feature | 10 Questions With Fashion Blogger Imalaika
Mitindo

Blogger Feature | 10 Questions With Fashion Blogger Imalaika 

Ni mama wa mtoto mmoja, Personal Shopper, Closet consultant,Decor Obsessed, Mompreneur ,Fashion & lifestyle blogger lakini kwetu ni fashionista pia, tumemuona katika mitandao ya kijamii lakini pia sisi ni fan wa blog yake inayoitwa Imalaika, tumepata fursa ya kufanya mahojiano nae kupata kujua anaweza kufanya vyote ikiwepo na kulea na bado she slays her daily life
Afroswagga –  Fashion Ina Maanisha Nini Kwako?

Imalaika – Kwangu fashion siyo about brands au expensive stuffs, ni kitu ambacho kipo within me na kinanielezea kuhusu mimi na identity yangu kabla sijaongea chochote.

Afroswagga – Kama mama unawezaje kukeep up na fashion na mtoto bila muingiliano? maana wamama wengi Africa wanasema hawawezi ku-keep up na mitindo kwa sababu ya kulea.

Imalaika – Nina ratiba ya mwanangu na ya kwangu kwa vitu vingi sana hii kwangu imekua rahisi nakuwa sina muingiliano wowote wa mambo yangu na ya kulea mwanangu, kila kitu kinakwenda kwa ratiba yake, pia napenda kuwa maridadi hiyo inachangia pia. 🙂

Afroswagga – tumenotice una body nzuri kama mzazi je una fanya mazoezi yoyote kama yes unaweza kututajia workout routine yako?

 Imalaika – Aaaaah! Hapana sina workout routine yeyote, ila huwa nafanya mazoezi ya kawaida siyo kila siku na pia hayapo rasmi, kwa ajili ya kujiweka vizuri kwa afya.

 Afroswagga – tumeona wewe ni personal shopper pia unaweza kutuelezea kidogo personal shopper ana fanya kitu gani hasa.

 Imalaika – Personal shopper ni mtu ambae analipwa kununua vitu kwa ajili ya mtu. Kwa kazi yangu natoa ushauri wa vitu kwanza kwa client kabla ya manunuzi.

Afroswagga – unaaitaje style yako?

Imaika – I would say Sassy and classy with a little bit of tomboyish.

 
Afroswagga –  style tip you live by;

 Imalaika –  Nothing ever goes out of style.

Afroswagga – Kama ungepewa nafasi ya kuchagua kabati la mtu yoyote maarufu ungechagua kuchukua kabati la nani.

Imalaika –  Bonang Matheba.

 Afroswagga – Tutajie fashion trend ambayo huwezi kuijaribu hata siku moja.

 Imalaika – I will never wear sock boots.

 Afroswagga – Tip 3 muhimu za kumwambia msomaji ambazo anaweza kufanya aonekane stylish kila siku.

Imalaika –  Kuwa makini sana na nguo za ndani, bra, panty, spanx n.k ukikosea hizo unaharibu muonekano wako wote wa nje.

Usizidishe accessories, they say “always less is more”.

 Vaa kutokana na wakati, mazingira.

 

Afroswagga – Chochote ambacho ungependa kuwaambia watanzania. 

Imalaika –  Tujifunze kujipenda na kujiamini wenyewe kwanza na mapungufu yetu kabla ya kutaka kukubalika na jamii.

Kama ungependa kumfollow Instagram bonyeza hapa @imalaika, kusoma interview nyingine ya celebrity stylist bonyeza hapa

Related posts

3 Comments

  1. Side hustle

    … [Trackback]

    […] Read More Information here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/blogger-feature-10-questions-with-fashion-blogger-imalaika/ […]

  2. 늑대닷컴

    … [Trackback]

    […] Here you will find 6115 additional Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/blogger-feature-10-questions-with-fashion-blogger-imalaika/ […]

  3. unicc shop

    … [Trackback]

    […] Here you will find 24595 more Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/blogger-feature-10-questions-with-fashion-blogger-imalaika/ […]

Leave a Reply