Ni Jumanne nyingine tena ambayo kwetu tunaaita Shoes-day kama kawaida siku hii huwa tunaongelea viatu, nani kavaa viatu gani na thamani yake ipoje leo tuna mwanamama Morjorie Harvey ambae ni mke wa mchekeshaji kutoka Marekani Steve Harvey, na Tv & radio host kutoka South Africa Bonang Matheba wakiwa wameonekana wakiwa wamevalia hizi sandals kutoka kwa French fashion house Saint Laurent (YSL), Vilivyo pewa jina Iris 105 Sandals.
Viatu hivi vina feathers (manyoya) kwa nyuma ambayo ndiyo yamefanya vionekane interesting (statement) vinauzwa USD 639 sawa na TZS 1,478,007/-
We spotted Marjorie akiwa amevaa na hii short black dress akiwa amevalia na hivi viatu na accessories ndogondogo she went for a all black outfit.
Kama ambavyo Marjorie alivaa Bonang nae amechagua kuvaa viatu hivi na a very short bandage dress yenye bow touch ya leather mkononi huku akiwa amemalizia na big hoop earrings na miwani.
Unaweza kushop viatu hivi hapa ysl.com, and let us know your views on the shoes, Yay or Nay?
Related posts
8 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/bonang-matheba-na-marjorie-harvey-wakiwa-wamevaa-ysl-iris-105-sandal-yenye-thamani-ya-1478007/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/bonang-matheba-na-marjorie-harvey-wakiwa-wamevaa-ysl-iris-105-sandal-yenye-thamani-ya-1478007/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/bonang-matheba-na-marjorie-harvey-wakiwa-wamevaa-ysl-iris-105-sandal-yenye-thamani-ya-1478007/ […]
… [Trackback]
[…] There you can find 22314 additional Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/bonang-matheba-na-marjorie-harvey-wakiwa-wamevaa-ysl-iris-105-sandal-yenye-thamani-ya-1478007/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/bonang-matheba-na-marjorie-harvey-wakiwa-wamevaa-ysl-iris-105-sandal-yenye-thamani-ya-1478007/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/bonang-matheba-na-marjorie-harvey-wakiwa-wamevaa-ysl-iris-105-sandal-yenye-thamani-ya-1478007/ […]
harp relaxing music
harp relaxing music
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/bonang-matheba-na-marjorie-harvey-wakiwa-wamevaa-ysl-iris-105-sandal-yenye-thamani-ya-1478007/ […]