South African media personality, Bonang Matheba amekuwa host katika Miss South Africa kwa miaka kadhaa sasa & hajawahi ku-disappoint kwenye swala zima la mavazi, amekuwa akitilia mkazo kwenye mionekano yake na mwaka huu alivaa magauni haya matatu, mawili yakitoka kwa Nigerian designers huku moja likiwa limebuniwa na designer kutoka South Africa
Look number moja ilikuwa hii hot pink extra vaganz dress yenye touch’s za silver. Alipost kwenye account yake kwenye mitandao ya kijamii huku caption yake ikisema “This Barbie is the most awarded OAP on the African continent, and tonight…she hosts Miss South Africa 2023. 💕🇿🇦

Custom @veekeejames_official, Makeup @joycejacob_jjb, Photography @thelagospaparazzi
Look ya pili ilikuwa hii custom made white drape dress kutoka kwa mbunifu @anncranberry, Jewellery @karlhajewels, Styled by @dahmola

Alimalizia usiku wake na hii black dress kutoka kwa mbunifu Custom @biji_la_maison
Styled by @dahmola

Tuambie look namba ngapi umevutiwa nayo zaidi?
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…