Wenzetu huwa wanafikiria sana hukusu brand zao, pale brand inapoonekana kuisha mashiko wanajaribu kuajiri creative director wapya na kuirudisha brand yao kwenye hadhi fulani. Mfano mzuri ni hii fashion brand iitwayo Bottega Veneta ( yes inawezekana hata kuisikia hujawahi maana ilishapotea kabisa), lakini imerudi kwa kishindo na hizi 90’s inspired trends.
Brand nyingi za viatu kwa sasa zinatumia triangle kubuni viatu vyao, ambapo mbele ya kiatu kinakuwa kimechongoka kama pembetatu, lakini Bottega Veneta wao wamekuja kitofauti wao wanatuma style ya pembe nne.
Watu maarufu wengi wameonekana kuvutiwa na brand hii, kama Kylie Jenner, Ini Edo na Toke Makinwa wakiwa wamevaa viatu hivi.

Toke Makinwa na Ini Edo wao walionekana wakiwa wamevalia Bottega Veneta Padded Sandals


Veneta Padded Sandals zinauzwa EUR 620 sawa na Tzs 1,585,526

Well Afromates Je ni clap or slap kwa hivi viatu?
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/bottega-veneta-kuirudisha-square-shoes-style/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/bottega-veneta-kuirudisha-square-shoes-style/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/bottega-veneta-kuirudisha-square-shoes-style/ […]