Issa February na sote tunajua February ni mwezi fulani hivi umakaa kima lovie dovie halafu ndio ukafanywa uwe mfupi, well ni valentine season yes kuna wengine ambao Valentine huanza mapema na ni vyema ikaanza mapema utafute zawadi mapema, well tuna brand za kitanzania ambazo tumeona wametoa punguzo la bei katika msimu huu wa Valentine na wana vitu vizuri kwa ajili ya mpendwa wako
Well kama unae mpelekea zawadi ni wa kike basi hapa ni mahala pazuri pa kwenda kumtafuta zawadi, Bijoux ni wabunifu wamavazi na huwa wanabuni sana mavazi kwa kutumia vitu vya asili kama batiki, vitenge na khanga, wana punguzo la bei la mpaka asilimia 30%
Hii ni brand ya viatu ya ,muigizaji,mchekeshaji,na mjasiriamali Idris Sultan, anauza viatu classic vya kiume vile vya alitumia babu mpaka mjukuu ana tumia, yes vyenye ubora huo, well wametoa punguzo la bei la asilimia 30% kama unataka kumnunulia mpendwa wako wa kiume viatu basi tembelea sultan by for men unaweza kupata hitaji lako kwa bei chee
View this post on InstagramA post shared by Speshoz (@speshoz) on
Brand ya mavazi ya kiume na ya kike lakini ime base na suit sana nao wametoa punguzo la bei, kwa siku 30 za mwezi february watauza shirt, suruali na skirt walizo zibuni kwa shilingi elfu 45,000/- tu, kama ungependa kumpa mpendwa wako zawadi ya corporate awe anavaa kazini, business meetings au sehemu nyingine mbali mbali ambazo zinapaswa kuvaa mavazi hayo basi speshoz ndio kimbilio lako.
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Here you can find 46644 additional Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/brand-hizi-3-zinakupa-sale-msimu-huu-wa-valentine/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/brand-hizi-3-zinakupa-sale-msimu-huu-wa-valentine/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/brand-hizi-3-zinakupa-sale-msimu-huu-wa-valentine/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/brand-hizi-3-zinakupa-sale-msimu-huu-wa-valentine/ […]