Mwaka jana tuliona namna gani kuvaa heels na socks ilivyo trend lakini mwaka huu sio tu socks alimradi socks bali ni branded socks. Kutoka kwenye runways za wabunifu mbalimbali tumeona branded socks ndio zina make headlines brands kama off whites wame toa socks lakini pia tumeona brand ya DHL ikicollaborate na brand ya VETEMENTS na kutoa socks, that made us go mmh really?
Ukiachana na runways na designers tumeona wasanii na watu maarufu mbalimbali wakiwa wamevaa aina hii ya socks Jeniffer Lopez na mwanamuziki Tiwa Savage walivaa socks aina ya Gucci zinazo fanana they made us wonder who rocked them better?
Jennifer Lopez alivaa socks hizi za Gucci na tutu skirt na fur sweater akimalizia na open heels zenye rangi ya purple.
Tiwa Savage yeye alichagua kuwa a Gucci woman rocking full gucci outfit na high heels.
Mtu maarufu mwingine aliye onekana na trendy hii ni Marlo Hampton ambae yeye alivaa Balenciaga pop socks na full black outfit
stylist’s na fashion bloggers mbalimbali wameonekana kuvutiwa na trend hii pia,
Temi Otedola rocked vetement’s green socks colorful heels wakati akiwa interviewed katika Accecerate Tv, well the socks & shoes made a statement katika outfit yake.
Unaweza kujiuliza je Afroswagga tumeipenda hii trend? jibu letu ni NDIO, Yes Yes Yes as hakuna accessories nyingi za viatu na zilizopo nyingi zinapigwa vita kwa kusemekana na maana mbaya kama vikuku we think hii ni trendy nzuri kunogesha outfit yako na kudraw attention miguuni, tuambie wewe kwako je is it a Yay or Nay?
Related posts
6 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/branded-socks-are-the-new-anklet/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/branded-socks-are-the-new-anklet/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/branded-socks-are-the-new-anklet/ […]
… [Trackback]
[…] There you can find 3582 more Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/branded-socks-are-the-new-anklet/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 56973 additional Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/branded-socks-are-the-new-anklet/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/branded-socks-are-the-new-anklet/ […]