Rapper Cardi B anatarajia kupata mtoto wa pili, Rapper huyu alifunga ndoa na rapper mwenzie Off Set mwaka 2017, na mwaka 2018 walimkaribisha mtoto wao wa kwanza Kulture, seems like Kulture anatarajia mdogo wake.
Jumapili wakati akiwa anaperform katika BET awards, Cardi B ali-reveal kwamba ni mjamzito lakini pia alipost picha za photoshoot yake katika account zake kwenye mitandao ya kijamii. Photoshoot hazikuwa na hekaheka bali kilichotuvutia hasa ni hizi statement Jewelry alizozivalia hizi ndizo zimebeba muonekano mzima wa photoshoot zake.
Tukianza ambayo yupo na Offset akiwa kifua wazi unaweza kuona hereni na bracelets zake ndizo hasa zilizoleta chachu kwenye hii photoshoot, akini pia kuna ambayo yupo mwenyewe amevalia bracelets na hereni pia, pia ambayo amevaa all white na mwanae wa kwanza Kulture wakiwa wamevalia mavazi meupe na hereni pamoja bangili.
Kupitia hizi photoshoot tunameweza kuona power of accessories.
Related posts
HOT TOPICS
As long as hakuna Aya,Mstari Au Kifungu Kinachosema “Kuto Kuoga Ni Dhambi Au Kosa Kisheria” Then Perfume na Bodyspray Tu Zinatosha Msimu Huu
FollowDown To Very Little Details, Read More Here 👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾 https://t.co/IeYufSGMgy https://t.co/IeYufSGMgy
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…