Kama mwaka jana tulisema tumechoka na viatu vya midoll basi tujue mwaka huu tunavyo ila hapa ni kwa design nyingine, seems like foot wear companies wameamua kutengeneza viatu vinavyo kuwa inspired na cartoons.
Mwezi wa pili mwanzoni tuliona watu maarufu mbalimbali wakiwa wamevalia boots nyekundu, boots hizi ziko inspired na cartoon Astro Boy, viatu hivi vimetengenza na kampuni mschf na vimepewa jina mschf red boots.

Viatu hivi vinauzwa $350 sawa na tsh 819,000 na vikiwa vimevaliwa na watu maarufu kama Lil Wayne, Aggy Azalea, Janelle Monae na Coi Leray

Tanzania tulimuona navyo mwanadada Irene Uwoya huku Kenya vilivaliwa na Eric Omondi, vya Eric vilikuwa DIY na sio real boots.

Baada ya viatu hivi ku-trend zimetoka habari kwamba makampuni yanaweza kutoa viatu vilivyokuwa inspired na cartoon ya Super Marioo na Teletubbies


Tupe maoni yako je umependa ubunifu huu wa viatu au cartoon should stay in cartoon’s world?
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…