This week mitandao ya kijamii ilichangamka kutokana na watu maarufu mbalimbali ku-share picha zao katika account zao, wakiwa katika style mbalimbali za mavazi kuna ambao walikuwa casual, wengine walikuwa chic, wengine walikuwa wamehudhuria katika sherehe mbalimbali. Kama ilivyoada tupo hapa kukuletea nani alivaa nini na je alipendeza?
Well tuanze na wale ambao wao walikuwa casual, by casual hatumaanishi walikuwa tu kawaida ila walivalia mavazi ambayo ni ya mitoko ya kawaida ya kwendea sehemu ambazo sio za event maalum au kubwa kubwa, tulikuwa na Diamond Platnumz alikuwa in black look akiwa amemalizia muonekano wake na layered necklace’s, saa, raba pamoja na kofia. Pia tulikuwa na mwanadada Hamisa Mobetto ambae yeye alikuwa ametupa some summer outfit inspiration hii ni zile unazoweza kukutana nazo pinterest ukiuliza kuhusu park dates outfit, we love this look on her. Mwingine ni Lavidoz yeye alikuwa in over sized shirt, airforce akiwa amemalizia na her favorite Lv bag.
Kuna wale ambao sasa walikuwa wamepania na looks zao, inawezekana walitoka kwenda sehemu au ilikuwa just a photoshoot tu. Tumemuona mwanadada Maua Sama, Maua amekuwa aki-serve looks siku hizi na hapa alikuwa in black & white outfit. Nandy yeye ali-serve akiwa amevalia red mermaid dress akiwa kama wedding guest huku wa mwisho tulimuona Gigy Money akiwa amevalia color block outfit.
Well tuambie muonekano au vazi la nani limekuvutia zaidi?
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/celebrities-looks-over-the-weekend/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/celebrities-looks-over-the-weekend/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/celebrities-looks-over-the-weekend/ […]