Watumaarufu wengi hupenda kuonekana kwenye mionekano ambayo ni ya tofauti kidogo, wengi wanapenda kuwa wa kwanza kuvaa mavazi ya aina fulani au kuonekana kwenye zile occasional looks. Lakini week iliyopita imekuwa tofauti kidogo tumewa-spot watu maarufu mbalimbali wakiwa wamevalia denim looks ambazo hata mtu wa kawaida anaweza kuvaa japo wao wameongeza vitu vichache kuleta utofauti.
Tumewaona Happiness Magese, Wema Sepetu na Irene Uwoya wakiwa wamevalia denim look, hawa tunawaita chic look, Happiness Magese, aliongezea layered cover up, handbag pamoja na statement green pumps, Wema, alivalia white shirt akachomekea upande mmoja ( nice style trick), akamalizia muonekano wake na pumps na miwani wakati Irene Uwoya, alivalia denim yake na crop top, pumps na statement orange handbag.
Wengine ambao wao walikuwa casual chic ni Faraja Nyalandu, Mimi Mars Na Maua Sama. Faraja, alivalia suruali ya denim na white kicks akaongezea na white blazer, Mimi Mars, alikuwa kwenye blue denim ambayo ilikuwa ya aina yake kwe nyuma na oversized shirt wakati Maua alikuwa in denim on denim look.
Well hivyo ndicyo namna watu maarufu walivalia week iliyopita tuambie nani unaona style yake inaendana na yako kati ya hawa watu maarufu sita.
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/celebrities-showed-us-how-to-look-chic-in-denim/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/celebrities-showed-us-how-to-look-chic-in-denim/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/celebrities-showed-us-how-to-look-chic-in-denim/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/celebrities-showed-us-how-to-look-chic-in-denim/ […]