Nike na Chanel wameamua kutuletea not your ordinary products za kubeba mapochi, trend kubwa kwa sasa katika ulimwengu wa bidhaa za mikoba ni fanny packs na min handbags, well japo trend hizi ni kubwa lakini kuna wale ambao hatusumbuki nazo na ni kutokana na kuto kupenda kubeba pochi au kuona hata hizo ambazo wengine wanaziona ndogo kwetu zikawa kubwa,
Basi kwa kuliona hili Chanel wameleta Ankle purse’s wakati nike wao wameleta fanny pack slides, crazy right?
Nike wao wanauza hizi slides Fanny Packs kwa $50 sawa na tzs 113,702.50/- unaweza kuweka funguo, pesa na vitu vingine vidogo vidogo kama lipstcik, wanja nakadhalika, hizi slides ni kwa ajili ya beach mostly lakini kwa kawaida yetu wa Africa tunaweza kuzivaa hata sokoni kama ambavyo tulizivaa Fenty X Puma Fur Slides.
Channel wao wanauza hizi ankle purses zao kwa $ 450 sawa na pesa yetu shilingi 1,023,345.00/- hizi zenyewe unaweza kuzivaa na heels, sandals, kicks na chochote kwa sababu zinavalika na kuvulika mguuni, nazenyewe unaweza kuweka vitu vidogo vidogo.
well tuambie kati ya invention hizi mbili wewe ipi unahisi unaweza kujaribu?
unaweza kuingia hapa kununua chanel purse
na hapa nike fanny packs
Related posts
5 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Here you can find 43550 more Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/chanel-na-nike-wanakuletea-pochi-hizi-za-kuvaa-mguuni/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/chanel-na-nike-wanakuletea-pochi-hizi-za-kuvaa-mguuni/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on to that Topic: afroswagga.com/mitindo/chanel-na-nike-wanakuletea-pochi-hizi-za-kuvaa-mguuni/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/chanel-na-nike-wanakuletea-pochi-hizi-za-kuvaa-mguuni/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/chanel-na-nike-wanakuletea-pochi-hizi-za-kuvaa-mguuni/ […]