At this point we can all agree Rihanna just unlock the new era of martenity looks, huko mitandaoni kwasasa kila mtu ana show mimba yake oh yes if we can celebrate ab’s we can celebrate mother hood too, like hide it for who?
Toka mwaka jana tumekuoa tukiona namna ambavyo socialietes wameamua kuingia katika ulimwengu wa umama iwe walishakuwa wameamua kuongeza au ndio mara ya kwanza, hivi karibuni tumemuona South African fashionista Ayanda ame-reveal kwamba ni mjamzito na since then hajaacha kutuonyesha mitindo yake katika ulimwengu wake huu mpya.
She been serving the baby bump like a 3 course meal, asubuhi mchana na jioni,kama wewe ni mama kijacho na unapenda kwenda na fashion then hizi ni inspiration kutoka kwake.
Kama ungependa kufanya baby shower au bump photoshoot hizi mbili zitakufaa

Na kwaajili ya mitoko kama Dinner, unanda kukutana na marafiki basi hizi hapa zinaweza kukusaidia endapo tu hauogopi kuonyesha tumbo.

Tuambie ipi utaweza kujaribu?
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…