Week iliyopita kulikuwa na sikukuu ya Christmas ambapo baadhi ya watu maarufu walitoa picha zao ambazo zinaonyesha mionekano yao huku wakiwatakia wa-Tanzania sikukuu njema. Tunaweza kusema wengi wao walipendeza sana na kujitahidi katika mionekano yao, rangi ambayo ilitawala ilikuwa nyekundu.
Muigizaji Kajala Masanja alikuwa kwenye sequin dress kutoka kwa mbunifu Martin Kadinda, gauni hii ilikuwa na mpasuo mbele, Elizabeth Michael yeye alikuwa in gold & red dress kutoka kwa mbunifu @kenny_the_brand huku akiwa styled na brand yake ya @emclosettz lakini pia tuliwaona watoto wa producer P Funk Majani, Paula na Pataika wao walivalia ball dress za kijani na nyekundu.
Wengine ambapo walitupia picha zao lakini wao waliamua kuwa tofauti kidogo kwenye rangi ni Lulu Diva na Fahyma, ukiachana kuwa tofauti na rangi hawa wawili walipendeza sana na outfit zao.
Hatujajua nini kilitokea kwa mama Twins, Jacqueline Mengi but this outfit was and will always be a miss to us. She could peak kati ya viatu au kofia avae kimoja na kingine kipumzike.

Well Afromates tuambie outfit yako uliyoipenda ni ipi?
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] There you will find 33885 more Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/christmas-slayage-from-tanzanian-stars/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 54608 additional Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/christmas-slayage-from-tanzanian-stars/ […]
… [Trackback]
[…] There you can find 92138 additional Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/christmas-slayage-from-tanzanian-stars/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/christmas-slayage-from-tanzanian-stars/ […]