Kama ulikuwa unamawazo kwamba hii trend ya rlocs itaisha anytime soon well tunakushauri chukua kiti ukae kwa maana inaonekana brand zimeamua kuzirudisha kwa kasi ya radi. Balenciaga na Crocs waliungana na kutoa baadhi ya viatu ambapo mojawapo ni hizi clogs na zinaonekana kuvutia watu maarufu wengi kwasasa.
Clogs ambazo zinaitwa hardrocs zimeonekana kuwavutia wengi zaidi ambapo tumemuona mwanamitindo Didi Stone akiwa amezivalia lakini pia tumemuona muigizaji Luka Sabbat nayeye akiwa nazo huku mwanamuziki Justin Bieber yeye akiamua kutinga nazo katika red carpet.



Viatu hivi vinauzwa $950 sawa na tsh 2,206,375/- kama wewe ni mpenzi wa crocs basi kaa humu uonekane mnyamwezi kama kina Justin Bieber.

Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/clogs-kutoka-kwa-balenciaga-x-clocs-zinavyo-trend-kwasasa/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 77878 additional Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/clogs-kutoka-kwa-balenciaga-x-clocs-zinavyo-trend-kwasasa/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/clogs-kutoka-kwa-balenciaga-x-clocs-zinavyo-trend-kwasasa/ […]